Category Swahili News

Waziri aongoza ushirikishwaji wa umma mradi wa maji Meru

Waziri wa Maji Kenya, Eric Mugaa, ameongoza zoezi la ushirikishwaji wa umma kuhusu mradi wa maji katika eneo la Kiirua, Kaunti ya Meru, akisisitiza umuhimu wa ushirikiano wa viongozi na wananchi katika kufanikisha maendeleo. Akizungumza katika mkutano uliofanyika Buuri, katika…