Wakazi wa Embu wapinga mpango wa kituo cha karantini ya Ebola

Baadhi ya wakazi wa Kaunti ya Embu wameeleza kupinga mpango wa serikali wa kuanzisha kituo cha karantini ya ugonjwa wa Ebola, wakidai kuwa hatua hiyo inaweza kuhatarisha afya na usalama wa wananchi. Wakazi hao wanasema serikali inaonekana kutanguliza maslahi yake…






