Wakazi wa Mathai Mbeere Kaskazini Wafurahia Kupatikana kwa Kisima cha Maji

Wakazi wa eneo la Mathai katika Kaunti Ndogo ya Mbeere Kaskazini wameeleza furaha yao kufuatia uzinduzi wa kisima cha maji uliofanywa na Gavana wa Kaunti ya Embu, Cecily Mbarire, wakisema mradi huo utamaliza changamoto ya muda mrefu ya ukosefu wa…








