Category Swahili News

Upinzani Meru wahairisha mikutano hadi mwezi ujao

Viongozi wa upinzani kutoka kaunti ya Meru wameweza kuahirisha mikutano ya kisiasa ambayo walikuwa wamepanga kufanya katika kaunti ya Meru kutoka kesho tarehe 20/5/2026, kama njia moja ya kusimama na wakenya ambao wameadhirika na kupanda kwa bei ya mafuta ya…

Seneta wa Embu aomba washikadau kusitisha migomo

Seneta wa Kaunti ya Embu, Alexander Munyi Mundigi, amewahimiza viongozi wa dini, wazazi, wanafunzi, na walimu kufanya kikao cha dharura kutafuta suluhu ya migomo inayozidi kuongezeka kaunti hiyo. Mundigi amesisitiza kuwa ushirikiano kati ya wadau hawa ni muhimu ili kutatua…

Walimu wa JSS Embu wasusia kuajiriwa kwa kandarasi

Walimu wa JSS wanaohudumu kwa mafunzo kazini katika Kaunti ya Embu wanataka kuajiriwa kwa masharti ya kudumu na ya pensheni badala ya kandarasi, wakilalamikia malipo ya chini ya takriban Sh17,000 baada ya makato. Wanasema zaidi ya walimu 44,000 wa JSS…

Waziri aongoza ushirikishwaji wa umma mradi wa maji Meru

Waziri wa Maji Kenya, Eric Mugaa, ameongoza zoezi la ushirikishwaji wa umma kuhusu mradi wa maji katika eneo la Kiirua, Kaunti ya Meru, akisisitiza umuhimu wa ushirikiano wa viongozi na wananchi katika kufanikisha maendeleo. Akizungumza katika mkutano uliofanyika Buuri, katika…